Nyumba ya Samora ilijengwa na wapigania uhuru wa FRELIMO kwa madhumuni ya kufikia kiongozi wao Samora Machel.
Ipo katika:-
Kijiji cha Iyera
Kata ya Iyera
Tarafa ya Iyunga
Halmashauri ya Jiji la Mbeya
Ipo kilomita 2.4 kutoka barabara kuu ya lami iendayo Tunduma